Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Vigezo havijakamilika. Badala ya urefu ungesema GENIUS. utazaa na kilaza, flat kichwani mtoto akutese mpaka ukome.
Njoo tukupa mbegu bora, watoto vichwa mpaka ufurahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo malipo ni papuchi??? Hii inaonyesha ni kiasi gani wanaume tunaonekana dhaifu

Kweli kisa papuchi ya siku moja ikufanye utelekeze damu yako??

Ukisikia mwanaume/familia inataka mwanamke wa kuwazalia mtoto ili awe wao lazima litangazwe dau kubwa na bado inaweza kuwa ngumu kumpata

Lakini kwa malipo haya ya papuchi unaweza kuta Inbox ya Miss nimechoka imeshajaa masela wanasubiri interview [emoji52]
 
Mkuu unauhakika mayai yako vizuri!?usije ukageuzwa mke mimba kunasa hainasi!!
 
[emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo mimi tayari,umri wangu ni 28yrs,na sina mtoto,we nicheki tu kwa 0653779235,nikupe ukipendacho roho.
 
Njoo pm
 
Aya njoo gheto basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…