Natafuta mwanaume wakunisaidia kimaisha

raky

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
206
Reaction score
33
Natafta mwanaume wakunipa hela yaani hali yangu ya kiuchumi ni mbaya sana nadaiwa 2m nlikopa for bzness,mtu ajitolee bac aokoe jahazi,mbarikiwe
 
Aise akikusaidia hela we utamsaidia nin? Dunia ya leo ni kusaidiana dada!
 
Natafta mwanaume wakunipa hela yaani hali yangu ya kiuchumi ni mbaya sana nadaiwa 2m nlikopa for bzness,mtu ajitolee bac aokoe jahazi,mbarikiwe
nimejitolea kukusaidia nitafte hapa 0773-09718
 
Kwanini mwanaume????
Au una cha kuoffer kwa mwanaume in exchange kwa huo msaada????
Au ndio unaamini propaganda ya kuwa wanawake hatupendani????
 
Huyu mleta mada ni mwanaume..
 
Acha uvivu, bure aghali, hebu acha kubweteka, nenda pale Vingunguti eneo la viwanda kila siku wanachukua vibarua kwa ajili ya kazi zisizo na taaluma maalum, kama ukiona ni kazi ngumu, fanya hata kwa wiki moja ukipata mshiko wako, ndio ushatoka hivyo, unaweza kuanzisha biashara ya kuchoma mahindi au kuzungusha matango, vipande vya mihogo na ndizi na uka make money.....

Kama itakuwa ngumu kwako, basi jimuvuzishe pale KIMBOKA BY NIGHT BUGURUNI wateja wapo kibao tena wengine ni wana JF, na hivi utakuwa mgeni machoni mwao, watakugombea kama muuza urojo Zanzibar.....
 
Kwanini mwanaume????
Au una cha kuoffer kwa mwanaume in exchange kwa huo msaada????
Au ndio unaamini propaganda ya kuwa wanawake hatupendani????


Anza kumsaidia basi. Kaona ana bidhaa ambayo wateja wakubwa ni wanaume!
 
Natafta mwanaume wakunipa hela yaani hali yangu ya kiuchumi ni mbaya sana nadaiwa 2m nlikopa for bzness,mtu ajitolee bac aokoe jahazi,mbarikiwe

Fafanua zaidi, akikusaidia hiyo 2m mtaendelea au ndo kila mtu na njia yake?
 
Natafta mwanaume wakunipa hela yaani hali yangu ya kiuchumi ni mbaya sana nadaiwa 2m nlikopa for bzness,mtu ajitolee bac aokoe jahazi,mbarikiwe
Kwa kuanzia, we ni SHE au HE??
 
Natafta mwanaume wakunipa hela yaani hali yangu ya kiuchumi ni mbaya sana nadaiwa 2m nlikopa for bzness,mtu ajitolee bac aokoe jahazi,mbarikiwe

hahahahahhahahah..... hii kali mwali wangu,nitilie nusu..
 
nilijua life liko tight kwangu tu,...
kumbe tupo wengi,
naona umejilipua tu,haya bwana tumia condom ndio cha muhimu
 
Uwe she au he kiukweli umekosa maadili, acha kuwa na mawazo ya hivyo, kwanza msaaada hauombwi njia hiyo ka upo serious jipange uje utueleze hapa kwa idadi yetu hata tukikutumia mpesa mia 2 mia 2 tu umeshapata hiyo hela, ila kwa ulivyo na huo mwandiko wako umeonesha we ni mwanamke,sasa si unapenda short cut wewe, kesho oga mapema, azima simu nzuri na kibeg flani halafu kaanzie maeneo ya posta kule kuna biashara nzuri sana ila uwe unazuga kama unasoma IFM coz wale bei zao zipo juu, zen mida ya jion uoge na ubadilishe nguo usogee maeneo ya mabibo hostel uwe unapiga route toka geti mpaka hapa barabaran, natumai ukiwa seriuos kwa wiki nne tu,utakuwa walau umepata hiyo hela au robo tatu iila usinywe pombe na pi usiwanyme mtandao wa wajanja (0713).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…