Natafuta mwanaume

... Dada "Unice bby' vigezo ni muhimu sana!
Mimi ni wa mwaka 47 ninakufaa?
 
Funguka kidogo vigezo unavyovitaka na vigezo ulivyo navyo wewe, ili tujipime kama tutakidhi mahitaji yako.
 
Dada funguka tujue!Usije ukanifanya kama yule mdada!Kaniita PM hapa tukakubaliana na uchumba ukashika kasi kumbe lengo lake lilikuwa NIMNUNULIE KING'AMUZI na alipokipata tu na simu hapokei!

Duh hii kali
 
natafuta mwanaume awe mpenzI wangu atakaye taka anitafute 0659719840

Join Date : 24th April 2013
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0

Mdogo wangu Post ya kwanza tu na kujiunga jana halafu unapotea, hapa tunataka vigezo (Umri, Elimu nk)
Pole Facebook mnadanganyana hapa JF hutachukua round lazima utaolewa tu ngoja waje wenyewe
 
Dada funguka tujue!Usije ukanifanya kama yule mdada!Kaniita PM hapa tukakubaliana na uchumba ukashika kasi kumbe lengo lake lilikuwa NIMNUNULIE KING'AMUZI na alipokipata tu na simu hapokei!

kumbe wimbo wa msondo unaosema wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika ni kweli iiiyeeeeeeeeeee!!
pole sana kaka hao ndo ma dem wa town bhaana
 
Dada funguka tujue!Usije ukanifanya kama yule mdada!Kaniita PM hapa tukakubaliana na uchumba ukashika kasi kumbe lengo lake lilikuwa NIMNUNULIE KING'AMUZI na alipokipata tu na simu hapokei!
Lakini na wewe si ulipewa tundi.
 
Naomba ni-pm picha zako nikuone isije ikawa ndugu yangu. Nataka nikuunganishe na jamaa yangu naye anatafuta kama wewe.
 
Weka picha na vigezo sio kutuuzia mbuzi kwenye gunia.
 
Kweli wanawake wa siki izi ni.majambazi.Eti kanuniliwa king'amuzi alafu akala kona.
 
Jifafanue vizuri,kwa sababu hamchelewi kudanganya humu jamvini,unajua mnakera sana,kuna mijamaa ni mianaume inajitokeza humu ndani eti kwa ajili ya kutafuta wanaume wa kuwaoa!acheni dharau,hebu kama uko serious jipambanue vizuri na tukuone.
 
natafuta mwanaume awe mpenzI wangu atakaye taka anitafute 0659719840

We umejiunga jana tu au umejiunga maalum kwa ajili ya kutafuta mume,sema na ufunguke zaidi sisi tupo na tumejaa sana humu,sema tu kuna mijike mingine haifai kabisa inajiunga humu na kuomba wanaume ama wachumba kwa ajili ya kuwaliza tu.
 
vizuri umekuwa na ujasiri wa kutamka, ila funguka zaidi kivigezo na pia weka picha yako utapata tu
 
The number your calling is not reachable!Namba ya simu unayopiga haipatikani!?Uenice!Uenice?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…