B.O.G
Senior Member
- Feb 17, 2011
- 144
- 40
Kuna beach ambayo ipo kigamboni si mbali sana na ferry , hivyo natafuta mtu ambaye kwa pamoja tutafungua Beach Night Club, restarant na mambo mengine mengine eneo hilo. Eneo hilo tayari lina majengo ambayo yata takiwa kufanyiwa ukarabati mdogo na pia kuna parking kubwa tu ya kutosha.Tuna weza kuwasiliana kupitia kadidi123@yahoo.com