Dear_me_
Member
- Dec 31, 2022
- 36
- 79
Habari za Muda huu mwanakitaa/ mwana jf, mpambanaji
Ningependa nikufunue macho kidogoo.
Je unajua makampuni mengi makubwa yalianza kushika soko wakati uchumi ume yumba
(Always Opportunity in adversity)
Natafuta mwekezaji upande wa car tentals/logistics ni fursa kubwa iko upande huu ENDAPO.
-utaenda sawasawa na technology
-Usajili ulio rasmi ( hapa naongelea usajili wako uwe unatumbulika kitaifa kabisa ).
Biashara hii haina haja ya kumiliki gari/ magari kikubwa ni management.
Kwa nini nimesema management sababu ni ile ile
-Nenda sawasawa na technologia utapunguza gharama zisizo na ulazima.
-Tanbulika ki taifa zaidi naongelea (usajili wenye kuridhisha tenda kubwa na za serikali unaweza kuwa na vigezo)
Hivyo Nakutegemea wewe mwekezaji na nitegmee nikupe idea tufanye kazi
Thamani ya mtaji 30,000,00-50,000,000 TZS
Maingezi zaidi ushauri DM Iko wazi asante
Ningependa nikufunue macho kidogoo.
Je unajua makampuni mengi makubwa yalianza kushika soko wakati uchumi ume yumba
(Always Opportunity in adversity)
Natafuta mwekezaji upande wa car tentals/logistics ni fursa kubwa iko upande huu ENDAPO.
-utaenda sawasawa na technology
-Usajili ulio rasmi ( hapa naongelea usajili wako uwe unatumbulika kitaifa kabisa ).
Biashara hii haina haja ya kumiliki gari/ magari kikubwa ni management.
Kwa nini nimesema management sababu ni ile ile
-Nenda sawasawa na technologia utapunguza gharama zisizo na ulazima.
-Tanbulika ki taifa zaidi naongelea (usajili wenye kuridhisha tenda kubwa na za serikali unaweza kuwa na vigezo)
Hivyo Nakutegemea wewe mwekezaji na nitegmee nikupe idea tufanye kazi
Thamani ya mtaji 30,000,00-50,000,000 TZS
Maingezi zaidi ushauri DM Iko wazi asante