mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 3,074
- 6,472
Wakuu naitaji mtu mwenye pesa hiyo aje tuwekeze faida tutagawana ipo hivi nina shamba la miti ya mbao ipo njombe karibia hekari 25 nimekatia/nimeishiwa hela ya uendeshaji endapo atatokea mwenye mtaji huo na tukashilikiana na kwa wema na juhud nipo tayari tukishamaliza kuvuna miti na kuuza ndani ya wiki 3 la zoez mpaka kukamilika nitampa robo tatu ya pesa atayotoa
Nikiwa na maana eneo hili linatoa si chini ya milion 50 kwahiyo ataeweza toa milion tano mwisho nitampa milion 15 na kwa makubaliano maalumu mana nimejaribu kukopa bank mashart yao ni mengi je nampataje huyo mtu mwenye hiyo pesa kama unawazo pia naliitaji pia kama upo tayari njoo chukua namba yangu kwenye post yangu wa "nataka kuwasaidia kwa yule anaetaka kuwekeza kweye mbao" upo jukwaa la biashara mwisho mwa ule uzi kuna namb yangu usije pm sitokujibu
Nikiwa na maana eneo hili linatoa si chini ya milion 50 kwahiyo ataeweza toa milion tano mwisho nitampa milion 15 na kwa makubaliano maalumu mana nimejaribu kukopa bank mashart yao ni mengi je nampataje huyo mtu mwenye hiyo pesa kama unawazo pia naliitaji pia kama upo tayari njoo chukua namba yangu kwenye post yangu wa "nataka kuwasaidia kwa yule anaetaka kuwekeza kweye mbao" upo jukwaa la biashara mwisho mwa ule uzi kuna namb yangu usije pm sitokujibu