[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unataka mtu wa kuishi nae tu masharti yote hayo??
Chukua ndugu zako au kwenu hakuna wa kike mwenye cheti, stashahada na shahada?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unataka mtu wa kuishi nae tu masharti yote hayo??
Chukua ndugu zako au kwenu hakuna wa kike mwenye cheti, stashahada na shahada?
Nadhani sijaeleweka kuishi nae kwa kufuata taratibu zote, baraka za wazazi ili niishi nae kama mke halali wa ndoa samahani kwa kutonielewa awali.Unataka mtu wa kuishi nae tu masharti yote hayo??
Chukua ndugu zako au kwenu hakuna wa kike mwenye cheti, stashahada na shahada?