Natafuta mwenza wa kuishi nae

Fredricklu

New Member
Joined
Aug 18, 2022
Posts
2
Reaction score
1
Maisha ni safari na ni siri ndefu na kila mmoja ya kwake, kuoa ni sifa ambayo mwanaume anapaswa kujivunia;
Natafuta mke wa kuishi nae sasa mpaka milele.

Sifa zangu:-
Ni mkristo
Ninaumri wa miaka 28
Situmii kilevi chochote
Kabila mmbena
Sifa za mwenza nimtafutae
Dini yoyote
Elimu yoyote
Miaka isiyozidi 25, na mengine ni ziada tu
 
Utapata uvumilivu tu ndoa sio lele mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…