Natafuta Mwenza wa maisha (Mchumba)

Fpam

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
290
Reaction score
115
Habari wana MMU. Mimi ni kijana wa kiume. Baada ya kujitathimini mimi binafsi, bila kushawishiwa na mtu (external influence) zaidi ya moyo wangu napenda kutangaza wazi kuwa nahitaji mwenza kifupi mchumba binti mwenye umri usiozidi miaka 28 kwa ajiri ya kuanza serious relationship ambayo Mungu akipenda na sisi tukitimiza wajibu wetu basi tuishie kuwa Mume na Mkewe(baba na mama). Kwa yeyote aliyetayari naomba ani PM. kwa maswali binafsi naomba mni PM pia haya ya kawaida nitajibu hapa hapa.
 
Me napita, watakuja soon

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ina maana wewe una miaka 39? Ok utampata japo umechelewa kujitathmini.
 
Ina maana wewe una miaka 39? Ok utampata japo umechelewa kujitathmini.

Hapana hayo ni mawazo yako. sijaandika umri wangu hapo.

sijachelewa ila naamini huu ndo wakati sahihi kwangu mkuu.
 

watakuja wadada wa nguvu
we subiri muda wa lunch ufike!!
saa hizi wapo busy!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…