Natafuta mwenza wa Maisha

Chilamwina

Member
Joined
Aug 5, 2023
Posts
12
Reaction score
35
Mimi ni kijana wa kiume
29 yrs natafuta mwenza wa Maisha (mpenzi) mwenye vigezo vifuatavyo
1. Umri 22+
2. Dini (Christian) mcha Mungu
3. Location - Tanzania

Elimu sio kigezo kwangu kwa maana mimi nataka mke ambaye ni wife material na sio Professor. Kwa ambaye yuko interested ani PM na nitamjibu.

Mungu awabariki sana.
 

Attachments

  • 20230804_223324.jpg
    29.3 KB · Views: 6
Wadada wote humu ni wachangamfu hawana shida fuata hao pm mmoja mmoja na usikubali mpaka utoboe lkn hpa ni sawa na kusubiri mabasi ya mkoani dp world
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…