Natafuta mwenza wa maisha

Natafuta mwenza wa maisha

KJ07

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2021
Posts
2,370
Reaction score
5,381
Nimekuwa nikilitafakari jambo hili kwa muda sasa kuhusu ni nini maana ya kweli linapokuja suala la kumpata mwenza wa maisha. Sio kuhusu uzuri, umri, au mambo ya muda mfupi. Ni kuhusu kujenga kitu cha kudumu na chenye maana.

Ninachotafuta ni mtu mwenye maadili thabiti, moyo wa upendo, ukomavu wa kihisia, na utayari wa kukua pamoja tutakapokuwa tunapitia changamoto za maisha.

Kama ni wewe ni PM
 
kila la kheri mkuu
Screenshot_20241027-191418~2.jpg
 
Aaha Ina maana huna kigezo chochote?? Umri dini unajua familia zetu za kitanzania mambo ni meng
 
Aaha Ina maana huna kigezo chochote?? Umri dini unajua familia zetu za kitanzania mambo ni meng
Karibia PM mkuu kama ni wewe.
Huko tutaelezana vigezo ikiwa vitarandana basi itakuwa vyema sana
 
Karibia PM mkuu kama ni wewe.
Huko tutaelezana vigezo ikiwa vitarandana basi itakuwa vyema sana
Kwa mim hapana ndoa inahitaj commitment Kila ninapogusa naona kama yatanishinda mapema.
Nimeuliza Kwa niaba ya wenzangu (wahitaj)
 
Mbona mtu akitafuta kwa style hii sio rahisi kupata mwenza?

All.the best
 
Salaam wakuu,

Shukrani kwa wote mliokuja PM.

Nimempata aliyekuwa anahitajika na niko tayari kuendelea naye mpaka hapo tutakapofikia hatua zinazofuatia.

NB: Nimejifunza mambo mengi sana kupitia thread hii.
Muhimu zaidi ni kwamba wake wa kuoa wenye uhitaji wa kuingia katika hiyo stage wapo wengi, suala kubwa ni kumatch vigezo.

Thread yangu ilikuwa imekamilika kwani i was not much after vigezo na akapatikana aliyenielewa katika hilo.

End of the thread na zoezi limefungwa rasmi.

Asante.
 
Back
Top Bottom