Hivi umeshabahatika?Wachumba mkaribie pm jamani
31
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Unamikakati mingapiHabarini za jioni wapendwa natafuta mume wa kuishi naye Miaka Kuanzia 35-45 mwenye kufanya kazi familia isilale Njaa au mfanyabiashara Staki utani wala kejeli asante
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Siku hizi limekuwa ni deal toka mitandao ya kijamii ingie, ni kitafta wachumba tu, hata mm natafta mchumba ila tu awe mkweli
Bado mtoto
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Wachumba mkaribie pm jamani
Umeona natafuta???Tuje pm kwako?
Mie sitafutiHivi umeshabahatika?
Sent from my HUAWEI TIT-U02 using JamiiForums mobile app
Kuoa hatutaki weka sura yako na msambwanda watu tuwinde papuchiHabarini za jioni wapendwa natafuta mume wa kuishi naye Miaka Kuanzia 35-45 mwenye kufanya kazi familia isilale Njaa au mfanyabiashara Staki utani wala kejeli asante
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Powa. Bila shaka utakuwa mhenga ukifika mda mhenga mwenzio nipoMie sitafuti