Ukiona hivyo mkuu ujue madem wa mtaani wanaringa sana ukiwatongoza wakati una Nia nzuri tu ya kimaisha.Duh hii week mbona imeongoza kwa hitaji la kuoa/kuolewa kunani? Anyway,nikutakie kila la heri ili ufanikiwe hitaji lako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona hivyo mkuu ujue madem wa mtaani wanaringa sana ukiwatongoza wakati una Nia nzuri tu ya kimaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona hivyo mnawadanganya sana.Ukiona hivyo mkuu ujue madem wa mtaani wanaringa sana ukiwatongoza wakati una Nia nzuri tu ya kimaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
umejitokeza ili akukwoti muende PM ?Huku ndio hakuna mademu kabisa mkuu pambana hukohuko
Mbona nawaona wengi kwenye nyuzi za mapenz mna comment. Tena wengi mpo single lakini Kuja PM yangu hamtaki.Huku ndio hakuna mademu kabisa mkuu pambana hukohuko
Wachache wanawadanganya then wana Generalize kwa wote. Wengine hatuna hizo mambo, me mwanamke akikubali na tunaendana namchukua(naoa)Ukiona hivyo mnawadanganya sana.
Dah! Mkuu mbona unapepelusha ndege wangu kwenye mtego!!umejitokeza ili akukwoti muende PM ?
Soko hakuna binti ,utaishia hivyo marupe rupe.
umejitokeza ili akukwoti muende PM ?
Soko hakuna binti ,utaishia hivyo marupe rupe.
Kwa lipi?Rubii anakuzuzua eh
Ukiona hivyo mkuu ujue madem wa mtaani wanaringa sana ukiwatongoza wakati una Nia nzuri tu ya kimaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa lipi?
Unanini weweHilo hilo likutoalo povu kila umuonapo
No Sio temeke Nzima na Sio kila mwanamke nikimuona tu namtongoza.Unataka kutwambia temeke nzima wanaringa!? Aaah mkuu acha hizoo