Natafuta mwenza

Natafuta mwenza

deina

Member
Joined
Sep 8, 2021
Posts
89
Reaction score
115
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.

Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.

~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.

~ Awe na kazi.

~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
 
Mimi ni msijina ,mkazi wa dar es salaam, single miaka 24 , mkristo ,muajiliwa sekta binafsi. Mrefu, majiyakunde, mnene kiasi, natafuta mwenza

Sifa
Mrefu,mweusi au majiyakunde mnene kiasi awe mkristo pia
Awenikijana kuanzia miaka 29-40
Awenakazi
Na awe mkazi wa dar es salaam
Nina 56 yrs, single hebu tuyajenge
 
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.

Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.

~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.

~ Awe na kazi.

~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
Mimi Nina sifa zote ila siyo mkazi wa Dar.
 
Wanaume weupe tuna bei ghali sana ndo maana wanawake wengi wanatuogopa.

Hao weusi ni wa bei chee ndo maana ni rahisi kuwapata.

Wanaume weupe tunaringa kwasababu kila demu tunayemtaka tunampata kirahisi tofauti na black hadi awe na chenji ndo ampate mwanamke.

Pia wanawake wanatuogopa kwasababu hatukawii ku cheat kwakuwa tunamendewa na mademu wakali.
 
Wanaume weupe tuna bei ghali sana ndo maana wanawake wengi wanatuogopa.

Hao weusi ni wa bei chee ndo maana ni rahisi kuwapata.

Wanaume weupe tunaringa kwasababu kila demu tunayemtaka tunampata kirahisi tofauti na black hadi awe na chenji ndo ampate mwanamke.

Pia wanawake wanatuogopa kwasababu hatukawii ku cheat kwakuwa tunamendewa na mademu wakali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Demu yeyote mkali anatamani kutoka na mwanaume mweupe kwa ajili ya mauzo aonekane wa kiwango cha juu.

Ukiwa mwanaume mweusi ili uongozane na demu mkali sharti mfukoni uwe vizuri.

Lakini kwa mwanaume mweupe hata kama hana kitu mfukoni mwanamke yupo tayari amgharamikie ili mradi watoke out tu.
 
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.

Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.

~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.

~ Awe na kazi.

~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
Siku nikiwa na kazi nitakutafuta nikuoe mrembo.
 
Back
Top Bottom