Nina 56 yrs, single hebu tuyajengeMimi ni msijina ,mkazi wa dar es salaam, single miaka 24 , mkristo ,muajiliwa sekta binafsi. Mrefu, majiyakunde, mnene kiasi, natafuta mwenza
Sifa
Mrefu,mweusi au majiyakunde mnene kiasi awe mkristo pia
Awenikijana kuanzia miaka 29-40
Awenakazi
Na awe mkazi wa dar es salaam
Wewe ni msijina mwenye maji ya kunde au mwenye rangi ya maji ya kunde?msijina
Mimi Nina sifa zote ila siyo mkazi wa Dar.Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.
Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.
~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.
~ Awe na kazi.
~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume weupe tuna bei ghali sana ndo maana wanawake wengi wanatuogopa.
Hao weusi ni wa bei chee ndo maana ni rahisi kuwapata.
Wanaume weupe tunaringa kwasababu kila demu tunayemtaka tunampata kirahisi tofauti na black hadi awe na chenji ndo ampate mwanamke.
Pia wanawake wanatuogopa kwasababu hatukawii ku cheat kwakuwa tunamendewa na mademu wakali.
unaharibu mchongo sasa😂You are too young kuanza kusaka wapenzi wasojulikana..
Siku nikiwa na kazi nitakutafuta nikuoe mrembo.Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.
Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.
~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.
~ Awe na kazi.
~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.