Winniepiere
Member
- Nov 29, 2020
- 13
- 35
Serious na mahusiano ndiyo aje?Jinsia Ke,
Rangi maji ya kunde,
Nna mtoto mmoja,
Nimejiajiri huduma za Afya,
Natafuta mwenza wa maisha,
Awe maji ya kunde na mrefu ,
Umri 32-35,
Awe muajiriwa kada ya Afya au amejiajiri
Awe serious na mahusiano
Mkuu huyu ni 'ke'Wanawake wanaojitambua hawataki wanaume dhaifu wa kulialia! Toka! (Go out there) jichanganye utaona manzi wa kila aina chagua, mwaga sera, oa!
Ooooh! Hapo sawa! Hila tatizo ni single mother!Mkuu huyu ni 'ke'
Single mother ana shida Gani??hafai kupenda/kupendwa?Ooooh! Hapo sawa! Hila tatizo ni single mother!
Uzuri F nduguNipo njoo PM kama uko serious.
Sifa zangu unazo ila tu please uwe mrembo/Mzuri/Uvutie
Mengine yote ntakuvumilia, ila Kwa sifa zako ntakuweza only if eneo la UREMBO/uzuri una A+
Usikariri my Dear kila mtu ana Vitu anapenda,na Mungu atafanyaYaani single maza na bado unachagua nani wa kukuoa, punguza vigezo hivyo visiwe vingi utachina kitaa
Unaona anafaa kuzungumzwa hapa?Kabla ya kuja PM, Baba Mtoto yupo wapi?
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Amebebwa na majiiiAliyemzalisha kwanini alimuacha?