Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Jumatatu ya Kesho itakua siku ya mapumziko ya kitaifa kama sehemu ya kutambua na kuenzi mawazo yakoage is just a number
Ila hata gazeti la Jioni Lina wasomaji wengi ujue?Anatafutwa nice guy wa kuuziwa gazeti jioni
imebidi niangalie kalenda kumbe kesho mzigoni kama kawa π₯Ήπ₯ΉJumatatu ya Kesho itakua siku ya mapumziko ya kitaifa kama sehemu ya kutambua na kuenzi mawazo yako
Raha ya gazeti ulinunue asubuhi bado limepigwa pin ya stapler.Ila hata gazeti la Jioni Lina wasomaji wengi ujue?
Hebu nenda ukasome "Alasiri" gazeti lako la Kila Siku kutoka IPP
Acha izo mkuu., waachie wazazi faragha ya kujadiliana future ya watoto wao.Hatutaki kupasha viporo kwa kisingizio cha kupeleka watoto wakamsalimie baba yao.
kabisaMUNGU akupatie hitaji la moyo wako
kama umepata mtu anakupenda mpende commit to that relationship, age is just a number π₯°- unknown
Hahaha.............ila Singo Mama wanapitia changamoto sana kwenye kutafuta life partner, japo ukifanikiwa kuanzisha naye mahusiano wengi wanatulia maana wanakuwa wamepata some sort of lesson.Raha ya gazeti ulinunue asubuhi bado limepigwa pin ya stapler.
ππππ huwezi jua mkuu, labda alipata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifuWewe mwenyewe ni mke wa mtu. Hao watoto uliwapata kupitia ndoto?
Mimi navyojua mechi zote zinaanza Bila Bila, yaani Ziro Ziro, yeah 0 - 0Habari ya wakati huu. Nimeleta mrejesho kwa kipindi ambacho nimekuwa na uhitaji wa mwenza na nikaposti humu. Lakini waliokuja pm ni wababa waume za watu na wengine wanakuja for funny tu, wakihisi hii ni sehemu ya kula kucheza na kuondoka.
Wakati Niko seriously katika Jambo hili na Nina uhitaji wa mwenza, ili kama tukija kuelewana vizuri basi tuweze kufunga pingu za maisha. Haimaanishi kuja hapa kuwa eti mtaani hawapo au kanisani hawapo, hapana. Bali Kuna sababu zilizosababisha nikaja kwenye platform hii.
Bado sijachoka, ninauhitaji wa mwenza , awe na age kuanzia 32 mpaka 40. Awe mkristo ikiwa mkatoliki itapendeza zaidi, awe mkoa wowote, akiwa na watoto sawa, ilmradi tu ajue majukumu yake kama baba wa familia. Awe na kitu kinachomuingizia kipato ili tu tusilale na njaa.
Sifa zangu ni mkristo katoliki, nimejiajiri, nna watoto 2, miaka yangu 32, mwembamba. Naishi dsm.
NOTE:.
ANAYEKUJA UHAKIKISHE SIYO MUME WA MTU NA PIA UKO SERIOUSLY UNAHITAJI SAFARI YA MAHUSIANO. OTHERWISE SIHITAJI KUKUONA PM.
KARIBU PM KAMA UNA SIFA , UNAHITAJI MTU MWENYE SIFA KAMA ZANGU, NA UNA NIA THABITI YA MAHUSIANO.
SIO KWASABABU UMEONA NI SINGLE MOTHER BASI UKAHISI NI SEHEMU YA KULA KIRAHISI NA KUONDOKA. BE CAREFUL.
Single maza hapana kwa kweli., mwanaume anatakiwa kuanzisha familia yake kuanzia 0 sio kwenda kuunga kwenye familia ya mwanaume mwingineHahaha.............ila Singo Mama wanapitia changamoto sana kwenye kutafuta life partner, japo ukifanikiwa kuanzisha naye mahusiano wengi wanatulia maana wanakuwa wamepata some sort of lesson.
ππππ huwezi jua mkuu, labda alipata mimba kwa uwezo waroho mtakatifu
Hahaha.............Kuna watu hawajabahatika uwezo wa kumpa mimba Mwanamke, hivyo badala ya kwenda kuasili bora uoe Singo Mama mmoja mnalea watoto.Single maza hapana kwa kweli., mwanaume anatakiwa kuanzisha familia yake kuanzia 0 sio kwenda kuunga kwenye familia ya mwanaume mwingine
Wazazi hawaachani. Kupasha kiporo ni suala la kugusa tuHahaha.............Kuna watu hawajabahatika uwezo wa kumpa mimba Mwanamke, hivyo badala ya kwenda kuasili bora uoe Singo Mama mmoja mnalea watoto.
Japo hata kama una huo uwezo unaweza ukapendana naye na mkaendelea kuongeza watoto pamoja
Hahaha......ila sio woteWazazi hawaachani. Kupasha kiporo ni suala la kugusa tu