Natafuta mwenza

mmmh..ile kitu ya Dec imekuwaje tena?🙄


Kaizer relax...wajua i believe u dont stop looking until ua ctually are off the shelves!!!! waweza patana na kitu bwana ukahairisha vyote ahahhahahahah!
 
Kaizer relax...wajua i believe u dont stop looking until ua ctually are off the shelves!!!! waweza patana na kitu bwana ukahairisha vyote ahahhahahahah!

ai....Sishi!!!! mbona wataka kuniharibia siku hivi hivi lakini?
 
ai....Sishi!!!! mbona wataka kuniharibia siku hivi hivi lakini?


wala usiwe na was.......siwezi....nataka kuanzisha meetings hapa jamvini.... for moral, economic and other forms of support...wajua vituko ninavyo viona hapa jamvini vinatishia eti.... kazi kweli
 
Serious Chrispin,is she beautiful, yaani katika umri wake bado wamo?
 
Vipi huyu hapa chini umemuona lakini? Inawezekana akafaa.

 
Kwa mfano akajitokeza mjane mwenye miaka 45 na watoto watatu, uko tayari? Kuna mama mmoja namfahamu mwenye sifa hizo anahitaji kuolewa.
Chrispin is she beautiful ?i mean kwa umri wake bado wamo?
 
umesahau sifa muhimu kama
una akiba ya kiasi gani benki na inatarajiwa kuongezeka kwa kasi gani
usafiri wako binafsi ni upi (chooper, gari, pikipiki,daladala, au mguu)

holla!

Kuna sifa nyingine muhimu kasahau,je ana nyumba bangaloo, kibanda au kapanga. Je na nyumba ipo maeneo gani kwa hapa bongo.
 


Naona ungekuwa more specific.Kwa mfano hicho kipengele cha dini ni kikwazo.Wengine hawapendi kabisa kuchanganya imani and im one of them.
Jee uko tayari kuwa na mdada ambaye ana elimu kuliko yako?
 
UKIENDA KULE NGARA, MISHAMO, KATUMBA, RUGUFU n.k i.e kwenye makambi ya Wakimbizi utawapanga foleni kama anavyofanya yule jamaa wa kule jirani na kwa Madiba, watapita mbele yako vifuawazi then you can pick yule ambaye unadhani amekuvutia.
 
Naona ungekuwa more specific.Kwa mfano hicho kipengele cha dini ni kikwazo.Wengine hawapendi kabisa kuchanganya imani and im one of them.
Jee uko tayari kuwa na mdada ambaye ana elimu kuliko yako?

Awe specific kivipi? Amesema yeye ni mwislamu lakini habagui. Kama wewe unabagua do not send him an email. Kama uko interested semd him an email. Mbona post iko straight forward jamani.
 

Sijui wengine hawakuelewa au hawajiheshimu. Kweli akili ni nywele.
 
kama unaona mizinguo poa lichunie na jiheshimu kwa kutokutoa comments za ajabu though siwez kuzuia uhuru wako wa kujiexpress....
Mbona unakuja na motion ya kutuchimba mkwara bwana? Yaani wewe uje kutuchukulia dada zetu halafu tuache kukuhoji status yako? Wewe vipi bwana!! Nway ukipata wife material husiache kutujuza mhe. Karibu
 
Awe specific kivipi? Amesema yeye ni mwislamu lakini habagui. Kama wewe unabagua do not send him an email. Kama uko interested semd him an email. Mbona post iko straight forward jamani.

Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwani wewe umesha kuwa booked maana na mm nipo kwenye hiyo mikakati ya 2012 sasa bado sijapata si unajua msafara wa nzige na panzi wamo.
 
Labda Muhanga ana sifa zote muombaji alizoorodhesha ndo maana kasema anafaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…