Natafuta mwenzangu

Natafuta mwenzangu

Mwanaume akijua kupika vyakula vingi haipendezi. Kukosoa kosoa hakuishi. Natania lakini
Ohoo nikahisi anayejua kupika ndiye mzuri mara moja moja au zote tu atakua akipikia familia🤔

Ila kweli mfano chakula kikikosewa kupikwa kidogo tu atanotice aargh.
 
Mkuu Pascal Silvin FUTA icho kipengele cha CHEF bakiza iyo ENGINEERING

wanachukiaga vitu vidogo Sana na hapa washaanza kuhisi utakua mnoko [emoji2][emoji2]


Mtembea bure sio sawa na mkaa bure nakwambia utaleta CORONA nyumbani
 
Back
Top Bottom