Natafuta Mwenzi wa Maisha

Naomba ufafanuzi hapo kwenye usomi wako tafazali........ Your quick response is highly appreciated.
 
vigezo viwili vimenitenga hapo cha kuishi Dar na cha umri yaani .....................
 
Natoa shukrani nyingi kwa wote walionitumia PM,naomba kama umri wako uko under 35 tafadhali usinimsg.Kama tumechati ukaona kimya ujue haupo tena kwenye shortlist.Usijisikie vibaya manake mwisho wa siku ni mtu mmoja tu anahitajika.

Dah! Hiko kweli ni kinyang'anyiro,mshindi lazima apatikane,wengne wameongeza sifa zao wenyewe,eti mshedede mrefu na mnene
 
Siko kama mshauri, nahisi hii ni post ya wanaume wanawake tunachemsha. Sasa nakushauri tu uombe Mungu wako akupe mume mwema, ila kama unataka wa humu ndani na umri unoataka, utakutana na waume za watu waliovua pete za ndoa watakufanya kitu mbaya utabaki mdomo wazi.

Mimi mwanamke above 35, nimekutana na mambo mengi sana, vigezo vyako vitakutupa pabaya! Omba sana, Mungu ni mwaminifu anatenda.
 
Baby hujambo ? hili la kushinda Love connect linanipa wasiwasi kama kuna sehemu nakosea niambie nijirekebishe usije ukakata mti/panda mti lol!

hahahahaha, mpenzi usihofu bana. Nawafariji fariji hawa waliokosa wachuchu. Lol.
 
Husninyo hapo juu, naomba unipe ratiba yako ya kulala.
 

Mbona huna mwelekeo
 
Kwa kuongezea tu Mlimani City naenda sana tena sio kunywa soda cause pesa za kutumia ninazo.

Umeonyesha katabia fulani hivi ka ubishi na kujisifia "mbele za watu", kitu ambacho sio sifa nzuri kwa "wify material"... Nakutakia kila la heri...
 

Aiseee! Awe mkristo,ana hofu na Mungu then awe ameachika au na mtoto, hv wakristo kuna kuachika kweli?!
Anyway all the best mamdogo.
 

duh CD salute mamdogo mana umenizidi years kibao duh kama 7 hv, sasa nitakua nakupa heshima yetu ile Shikamoo mamdogo.
 
Don't judge a book by its cover ndugu yangu,wife material kwako sio kwa mwingine,ni mitazamo tu,sasa ww mtu akwambie uende ukanywe soda pale ndo umpate mwenzi sie ni sawa amekuequate na changu?Na nilivyomjibu sie kujisifu ila ndo ukweli wenyewe.
Umeonyesha katabia fulani hivi ka ubishi na kujisifia "mbele za watu", kitu ambacho sio sifa nzuri kwa "wify material"... Nakutakia kila la heri...
 
Yaani we ndo umepotea kweli,aliyekuambia nakuhitaji ww nani?U seem to have what is known as inferiority complex.Hukuhitaji kutoa ushauri ktk hii post,kuna section ya ushauri,kha. Level ya kufikiri iko chiniiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…