Natafuta Mwenzi wa Maisha

Ndoa za siku hz sio za zamani,watu wanaachana kila kukicha kwa sababu mbali mbali,there are few good men out there wameachika they need a second chance.
Aiseee! Awe mkristo,ana hofu na Mungu then awe ameachika au na mtoto, hv wakristo kuna kuachika kweli?!
Anyway all the best mamdogo.
 
nimekukubali mama ila dah me sina vigezo vyote ila napenda kuwa rafiki yako? mia
 
Tuwasiliane PM nafanya shortlisting bado.We can speak the same language I have noted.Nadhani itabd nifanye exceptions kwa miji,Mwanza hapo flight kila siku,eeh nisije tena nikaambiwa nina majigambo maana watu wengine humu hazimo kbs.

Eebwana umejuaje nami natafta mtu,mke wa kushea naye katika haya maisha mafupi, ila niko rock city nimwajiriwa wa serikali na malizia research yangu ya masters,35 yrs.mrefu,maji ya kunde na pombe mara moja kwa mwaka.
 

Kwa wenzangu na sisi ambao hatujasoma yetu macho
 
Ndoa za siku hz sio za zamani,watu wanaachana kila kukicha kwa sababu mbali mbali,there are few good men out there wameachika they need a second chance.

japo mm sio mkristo bt wakiacha hakuna kuoa tena otherwise mmoja mauti yamkute ndipo mwingine aoe. Je utazini in all ur life?
 
Hy ni zamani,siku hz ndoa zinafungwa mpya ila sie makanisa yote yanakubali,inategemea ground za kuvunjika kwa previous ndoa.
japo mm sio mkristo bt wakiacha hakuna kuoa tena otherwise mmoja mauti yamkute ndipo mwingine aoe. Je utazini in all ur life?
 

Jee? Ikitokea mtuu kafoji vyeti kuonyesha amekizi vigezo kumbe aliishia d7 unakuja kugunduwa baadayee mkiwa ndani ya mahusiano huo mda hakuna kosa jingne kaonyesha mapenzi ya kweli jee ukigunduwa hilo unaweza vunja usiano wenu ukimuhoji kwanini ulifoji vyeti jibu mapenzi utafanyeje
 
Naruhusiwa maana mim najitegemea ila nina makaz yangu hapo da... Ila kazi yangu nalima karanga kwetu mpyapya kwa mwaka napata gunia 10 nikipata chans naongeza shamba la mahindi. Elimu darasa la saba la upe!
 
Naruhusiwa maana mim najitegemea ila nina makaz yangu hapo da... Ila kazi yangu nalima karanga kwetu mpyapya kwa mwaka napata gunia 10 nikipata chans naongeza shamba la mahindi. Elimu darasa la saba la upe! Nina punda wa nne kwa ajili ya mizigo.
 
No Thank u

Naruhusiwa maana mim najitegemea ila nina makaz yangu hapo da... Ila kazi yangu nalima karanga kwetu mpyapya kwa mwaka napata gunia 10 nikipata chans naongeza shamba la mahindi. Elimu darasa la saba la upe! Nina punda wa nne kwa ajili ya mizigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…