Natafuta nafasi na sehemu pa kuvolunteer kazi field ya ICT

raia_mwema

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
479
Reaction score
314
nimehitimu degree katika field ya ICT mwaka 2011, Baada ya kutuma application zisizopungua 80 pasipo mafanikio naomba kwa mwenye msaada kwani natafuta ofisi ambapo nitavolunteer kazi za ICT kwa mkoa dar es salaam......
 
jaribu kuongea na jf founder!uwe moderator wetu wa jukwaa la nafasi za kazi!
 
nimehitimu degree katika field ya ICT mwaka 2011, Baada ya kutuma application zisizopungua 80 pasipo mafanikio naomba kwa mwenye msaada kwani natafuta ofisi ambapo nitavolunteer kazi za ICT kwa mkoa dar es salaam......

kati ya hizo umeitwa interview ngapi?
 
umebobea kwenye nini, database, hardware, or ???
 
Nami naungana naye jamaa kukuuliza umebobea kwenye database au Network?
Je umewahi kuomba TPA?
Network ndio database sijaifanyia sana lakini nayo pia naiweza TPA siijawahi kuomba
 
Tanesco nilishawahi peleka pale hawakujibu

Hata mimi Tanesco nilishawahi kupeleka maombi ya kuomba internship ya ICT pale tena kwenye ofisi husika kabisa inayohusiana na mambo ya Training na nikajieleza vizuri wakanielewa, walinizungusha kama wiki 3 hivi na mwishoni nikaja kuambiwa barua yangu haionekani. Wakasema ni draft nyengine, basi nikafanya hivyo then kesho yake nikapeleka, cha ajabu sasa nilipofika kwenye ofisi ileile wakaniambia sasa hivi tumesitisha kupokea maombi ya internship.......................sasa nikabaki njia panda na kujiuliza maswali mengi sana, hivi kweli wamesitisha officially au labda wamesitisha baada ya kuniona mimi. hapo ndugu ndio nikaanza kuona dunia kama vile inaanza kunitenga
 
 
 
 
duuuuuuuh watu wengine sijui kama wanautashi wa kufikiria thats why muda mwingi wamekaa kukejeli kejeli!
Lakini ili jamii ikamilike lazima tuwe na watu tofauti tofauti kama vile wendawazimu, wakatili, wema ect..
so waungana naomba msikwazike saana kwa jibu la huyo hapo juu anayejiita Yaya Toure ila wakati wake ukifika atajirekebisha mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…