Natafuta nafasi ya Internship kwenye kampuni ya Bima

Natafuta nafasi ya Internship kwenye kampuni ya Bima

Rogie

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
7,586
Reaction score
6,697
Habarini za wakti GT, naimani humu ndani ntapewa mwanga katika hili suala langu.. Natafuta internship kwenye kampuni yoyote ya bima. Nimejaribu kutuma maombi lkn mpk leo kimya. Nimesoma bima na uzuiaji majanga.<br />
<br />
Sababu ya kutafuta<br />
Nilibahatika kupata kazi ambyo co professional niliyokuwa nasomea nilipokuwa nasoma chuo. Kipindi wengine wanafanya fields mm nilikuwa nafanya projects na nimefanya projects mbili. Sasa nahitaji niwe conversant practically zaidi wkt bado cjaamua kudevelop career yangu. Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom