Mtamsaidia kweli au ndo mnataka kumsaidiiiiiiiiiiiiiiya!! huyu binti anapaswa kujionya kwanza kabla kisha aamue kuzifanyia kazi hizi acceptance za offer yake.Mbona kwa mfano wanaodai amepata kazi hawamwambii kazi gani ili ajue mapema kama yuko tayari kwa kazi husika.Msaidieni kwa maana ya kumsaidia.