Bruno Jewel
New Member
- Sep 28, 2023
- 4
- 2
Mimi ni muhitimu wa shahada ya kwanza ya elimu, nimesomea ualimu wa masomo ya Kingereza na fasihi ( English Language and Literature) pia nina uwezo wa kufundisha lugha ya Kifaransa (FRENCH)kwa ngazi ya chini ( beginners).
Natafuta nafasi ya kazi ili niweze kutumia maarifa na ujuzi wangu kusaidia vijana na watoto wanaoendelea na masomo kutimiza ndoto zao.
Nina uwezo wa kufundisha Pre & primary level, secondary level and advance level.
Mawasiliano: 0744715587
Baruapepe: Brunojewel45@gmail.com
Natafuta nafasi ya kazi ili niweze kutumia maarifa na ujuzi wangu kusaidia vijana na watoto wanaoendelea na masomo kutimiza ndoto zao.
Nina uwezo wa kufundisha Pre & primary level, secondary level and advance level.
Mawasiliano: 0744715587
Baruapepe: Brunojewel45@gmail.com