Natafuta nafasi ya kazi

Natafuta nafasi ya kazi

Bruno Jewel

New Member
Joined
Sep 28, 2023
Posts
4
Reaction score
2
Mimi ni muhitimu wa shahada ya kwanza ya elimu, nimesomea ualimu wa masomo ya Kingereza na fasihi ( English Language and Literature) pia nina uwezo wa kufundisha lugha ya Kifaransa (FRENCH)kwa ngazi ya chini ( beginners).

Natafuta nafasi ya kazi ili niweze kutumia maarifa na ujuzi wangu kusaidia vijana na watoto wanaoendelea na masomo kutimiza ndoto zao.

Nina uwezo wa kufundisha Pre & primary level, secondary level and advance level.

Mawasiliano: 0744715587

Baruapepe: Brunojewel45@gmail.com
 
Anzisha kijiwe cha tuition kusanya 200/= kwa kichwa kila siku upoze makali ya maisha! Alafu hizi degree za education unaenda chuo kukua kama sijakosea!
 
Back
Top Bottom