Natafuta nafasi ya kazi

Bruno Jewel

New Member
Joined
Sep 28, 2023
Posts
4
Reaction score
2
Mimi ni muhitimu wa shahada ya kwanza ya elimu, nimesomea ualimu wa masomo ya Kingereza na fasihi ( English Language and Literature) pia nina uwezo wa kufundisha lugha ya Kifaransa (FRENCH)kwa ngazi ya chini ( beginners).

Natafuta nafasi ya kazi ili niweze kutumia maarifa na ujuzi wangu kusaidia vijana na watoto wanaoendelea na masomo kutimiza ndoto zao.

Nina uwezo wa kufundisha Pre & primary level, secondary level and advance level.

Mawasiliano: 0744715587

Baruapepe: Brunojewel45@gmail.com
 
Anzisha kijiwe cha tuition kusanya 200/= kwa kichwa kila siku upoze makali ya maisha! Alafu hizi degree za education unaenda chuo kukua kama sijakosea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…