Karibu dar kuna kampuni inaitwa teachers junction wengi wamesaidiwa inawaunganisha walimu na mashule.
Wapigie
0655-586906
0682-586906
mkuu mimi nilimaliza Ruaha sec scul,iringa 2006 ni private scul pako poa sana palinitoa pale,jaribu ku google ruaha secondary maana wana website yao.ili ukipata contacts zao ujaribu kucheki nafasi.ukifanikiwa nijuze