Natafuta nafasi ya utangazaji wa Radio FM yoyote iliyopo Morogoro

Natafuta nafasi ya utangazaji wa Radio FM yoyote iliyopo Morogoro

EllQ

Member
Joined
Mar 22, 2020
Posts
49
Reaction score
85
Mimi ni kijana wa Miaka 27, Sijasomea Taaluma ya Habari na Mawasiliano kwa Umma. Ila tangu Nikiwa Mdogo ndoto yangu ilikuwa ni kuwa Mtangazaji na Mwandishi wa habari. Naamini nina kipaji , kupata uzoefu nilipokuwa kiranja wa Information and Broadcasting O level ambapo nilikuwa naandika na kusoma habari mubashara Assemble kila ijumaa.

Hiyo Maisha yangu yote yalikuwa ni kuwa Mwandishi na Mtangazaji .Lakinj bahati mbaya sana nilipingwa vikali nyumbani kusomea Fani hiyo .

Nimesoma - Bachelor of Education in Languages & Management. Nimejitahidi kuzima ndoto hii lakini bado inanisumbua .

Niko Mzumbe Morogoro. Niko tayari kujitolea katika Media yoyote iliyopo Morogoro hasa Media za Dini.

Mungu awabariki JF.
Mawasiliano :0763744497
 
Mimi ni kijana wa Miaka 27, Sijasomea Taaluma ya Habari na Mawasiliano kwa Umma. Ila tangu Nikiwa Mdogo ndoto yangu ilikuwa ni kuwa Mtangazaji na Mwandishi wa habari. Naamini nina kipaji , kupata uzoefu nilipokuwa kiranja wa Information and Broadcasting O level ambapo nilikuwa naandika na kusoma habari mubashara Assemble kila ijumaa.

Hiyo Maisha yangu yote yalikuwa ni kuwa Mwandishi na Mtangazaji .Lakinj bahati mbaya sana nilipingwa vikali nyumbani kusomea Fani hiyo .

Nimesoma - Bachelor of Education in Languages & Management. Nimejitahidi kuzima ndoto hii lakini bado inanisumbua .

Niko Mzumbe Morogoro. Niko tayari kujitolea katika Media yoyote iliyopo Morogoro hasa Media za Dini.

Mungu awabariki JF.
Mawasiliano :0763744497
Nakushauri nenda ifakara pale PAMBAZUKO FM inaweza ikawa njia ya kutokea kazi yoyote fanya ukiwa na lengo lako mkononi IKITOKEA chance itumie
 
Nenda sauti ya uzima redio ya Baptist church hii redio mpya, hipo pale kola karibu na shule ya Bernard bendel kola. Nenda kajaribu bahati yako, mwenyewe ni mzungu mwenye kanisa na redio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom