Natafuta Nurse Jamani

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Habarini marafiki

Niko serious jamani anahitajika nurse ambaye atamhudumia mgonjwa nyumbani kwake, na
kumpangia dawa za kunywa, kumpikia chakula maalum chake anachokula, na kufanyia massage
mshahara ni mnono sana kwa anayehitaji au aliyena ndugu ambaye ni mzoefu katika unurse
anijuze tafadhali. Awe anaishi moro au dar pls kwa aliye serious na jambo hili anitaarifu

Narudia kusema tena niko serious wala si joke hapa

Nitwangieni kwa kuni pm
 

mi nina ndg yangu yupo dom vp inawezekana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…