INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Habari wana jf kama nilivotanguliza hapo juu mimi ni kijana wa miaka 29 najishughulisha na biashara kariakoo dsm natafuta mwanamke wa kuanza naye maisha kuhusu umri kuanzia miaka 27+ chini ya hapo hapana mara nyingi hawapo sirias na maisha kuhusu dini kwangu sio tatzo cha umuhimu awe na hofu ya mungu kama ana mtoto sio tatzo nitamlea kama wangu cha muhimu awe na uthibitisho wa kuachana na baba mtoto then mengine tutaulizana pm ila vigezo vikubwa ndo hivyo
PLS KWA ALIYEKUWA SIRIAS ANICHEK PM
PLS KWA ALIYEKUWA SIRIAS ANICHEK PM