INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
kwanni inikoseshe mke
Habari wana jf kama nilivotanguliza hapo juu mimi ni kijana wa miaka 29 najishughulisha na biashara kariakoo dsm natafuta mwanamke wa kuanza naye maisha kuhusu umri kuanzia miaka 27+ chini ya hapo hapana mara nyingi hawapo sirias na maisha kuhusu dini kwangu sio tatzo cha umuhimu awe na hofu ya mungu kama ana mtoto sio tatzo nitamlea kama wangu cha muhimu awe na uthibitisho wa kuachana na baba mtoto then mengine tutaulizana pm ila vigezo vikubwa ndo hivyo
PLS KWA ALIYEKUWA SIRIAS ANICHEK PM
mie ctaki mtu anipendee sura nafas bado ipo njoo pm tukubaliane alafu ndo nikutumie picha
kwanini mbna umenikatisha tamaa mwana wa mwenzio
akufikirie kitu gani wakati nafasi imeshajazwa?Me Niko -27 pls emu nifikirie basi [emoji41]
mbona unamsemea?!akufikirie kitu gani wakati nafasi imeshajazwa?
Simsemei yeye nakusemea wewe bibiembona unamsemea?!
Jamani me mbona nafasi hiko 🤣Simsemei yeye nakusemea wewe bibie
ina maana ombi langu limekataliwa?Jamani me mbona nafasi hiko 🤣
Nafasi zimeshajaa!Me Niko -27 pls emu nifikirie basi [emoji41]
Moyo uko na vyumba vingi..relaxina maana ombi langu limekataliwa?
Wapi?Nafasi zimeshajaa!
aisee sawa mrembo DepalMoyo uko na vyumba vingi..relax
karibu pm ndo umri sahih huoMe Niko -27 pls emu nifikirie basi 😎