Natafuta nyimbo hizi za Old Bongo Flava

Natafuta nyimbo hizi za Old Bongo Flava

Amafita

Senior Member
Joined
Jul 22, 2019
Posts
165
Reaction score
311
Habari zenu waheshimiwa.

Kuna baadhi ya nyimbo nimekuwa nikizitafuta kwa takribani miaka kumi sasa. Nimejaribu kukomenti kwenye kurasa za mitandao ya kijamii ya wasanii husika lakini hawaonyeshi kuwa na msaada. Mwenye nyimbo zifuatazo naomba atume tafadhali.

Vyovyote Vile
- Ray C (kutoka kwenye albamu yake ya kwanza)
Karibu Yangu - Khalid Chokoraa feat. Christian Bella
Pauline Zongo; hii nyimbo yake siijui jina ila video inamwonyesha anapiga gitaa akiwa maeneo yenye fukwe za bahari akiwa amevalia mavazi meupe

Nitashukuru sana kama nitafanikisha kupata nyimbo hizo
 
Habari zenu waheshimiwa.
Kuna baadhi ya nyimbo nimekuwa nikizitafuta kwa takribani miaka kumi sasa. Nimejaribu kukomenti kwenye kurasa za mitandao ya kijamii ya wasanii husika lakini hawaonyeshi kuwa na msaada. Mwenye nyimbo zifuatazo naomba atume tafadhali;
Vyovyote Vile-Ray C (kutoka kwenye albamu yake ya kwanza)
Karibu Yangu-Khalid Chokoraa feat. Christian Bella
Pauline Zongo; hii nyimbo yake siijui jina ila video inamwonyesha anapiga gitaa akiwa maeneo yenye fukwe za Bahari akiwa amevalia mavazi meupe

Nitashukuru sana kama nitafanikisha kupata nyimbo hizo

Kwenye kikotoo umeingia mwaka gani mkuu?
 
Nakushauri ungewacheki hawa wahisika wenyewe kama vile Ray C , maana yupo active sana instagram. Angeweza kukutumia
Nimeshawahi kukoment kwenye posts zake za Instagram na Tiktok zaidi ya mara 20 ila hajawahi kujibu tena unakuta nawahi kabisa comments zinakuwa na mwanzo mwanzo lakini wapi. Then huko YouTube ndio kabisaa comments zangu zimejaa kwenye Channel yake. Hata akiwa live Tiktok huwa anaruka hili swali, na ni wengi tu huuliza maswali kama yangu
 
Habari zenu waheshimiwa.
Kuna baadhi ya nyimbo nimekuwa nikizitafuta kwa takribani miaka kumi sasa. Nimejaribu kukomenti kwenye kurasa za mitandao ya kijamii ya wasanii husika lakini hawaonyeshi kuwa na msaada. Mwenye nyimbo zifuatazo naomba atume tafadhali;
Vyovyote Vile-Ray C (kutoka kwenye albamu yake ya kwanza)
Karibu Yangu-Khalid Chokoraa feat. Christian Bella
Pauline Zongo; hii nyimbo yake siijui jina ila video inamwonyesha anapiga gitaa akiwa maeneo yenye fukwe za Bahari akiwa amevalia mavazi meupe

Nitashukuru sana kama nitafanikisha kupata nyimbo hizo
umejaribu kupita kwenye hii thread? Ina nyimbo zote unazotafuta. Ukizikosa nione inbox
 
Hazipo youtube?
Pauline Zongo kwa sasa ameathirika sana na matumizi ya drugs
Hazipo YouTube kwa mujibu wa dk 5 zilizopita. Ishu ya Pauline Zongo naifahamu vyema, huo wimbo wake niliouulizia ameuachia mwaka 2004
 
Back
Top Bottom