Natafuta nyumba au Kiwanja Dodoma Area D ya kununua.

Natafuta nyumba au Kiwanja Dodoma Area D ya kununua.

Yaleyale

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
1,793
Reaction score
2,401
Habari wanabodi.
Kama kuna mtu anauza nyumba au kiwanja Dodoma Area D aweke hapa. Tafadhali useme ukubwa wa kiwanja na bei yake (useme kama ni nyumba au kiwanja tupu)
Shukrani.
 
Habari wanabodi.
Kama kuna mtu anauza nyumba au kiwanja Dodoma Area D aweke hapa. Tafadhali useme ukubwa wa kiwanja na bei yake (useme kama ni nyumba au kiwanja tupu)
Shukrani.

boss ulifanikiwa
 
Back
Top Bottom