fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Nataka nyumba ikiwa imekamilika nihamie tu. Nyumba iwe kubwa na ushuwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unampa na nyongeza ya gari. Ashindwe yeye tuHii haina kipengere labda uje nacho wewe😊
View attachment 3259678
Na parking ipoUnampa na nyongeza ya gari. Ashindwe yeye tu
Dada, dada dada! Hapa kabisa?Goba imejaa sana, njoo nikuuzie hapa
😂😂😂😂 aiseee 🙌Hii haina kipengere labda uje nacho wewe😊
View attachment 3259678
hiyo haina kipengere😃 kabisa labda aje nacho yeye.😂😂😂😂 aiseee 🙌
😅😅 nami naona imenyooka kabisa na gari unampa nyongeza 🤠🤠hiyo haina kipengere😃 kabisa labda aje nacho yeye.
Ashindwe yeye tu😅😅 nami naona imenyooka kabisa na gari unampa nyongeza 🤠🤠
Na mazungumzo yapo 🤠🤠Ashindwe yeye tu
Hakuna mtu mwenye milioni 300 Tsh cash hajui nyumba yenye thamani hiyo inapatikana wapi,sio tu Tanzani,ni Dunia nzimaNataka nyumba ikiwa imekamilika nihamie tu. Nyumba iwe kubwa na ushuwani.
Yeah 😂Na mazungumzo yapo 🤠🤠
chuki roho mbaya na uogaHakuna mtu mwenye milioni 300 Tsh cash hajui nyumba yenye thamani hiyo inapatikana wapi,sio tu Tanzani,ni Dunia nzima
Nyumba yenyewe ni Ile kule mbali kwenye minazi, hiki hapa ni kibanda cha mlinzi tu getiniHii haina kipengere labda uje nacho wewe😊
View attachment 3259678