Natafuta nyumba ndogo!

Hauko siriazi wewe nyumba ndogo utaipata wapi kirahisi hivi huogopi ngoma

Weka jinsia yako watu wakuelewe
 
wewe unataka kununua matatizo......mkeo/mmeo hakutoshelezi?Kama ndio mwambie mzungumze kwanza nini unataka...unachotaka kwenye nyumba ndogo nyumba kubwa atakupa.
NB:Muombe ruhusa kabisa mkeo/mmeo kuwa unataka nyumba ndogo...kisha akuruhusu.Mwenyewe utarudi nyumba kubwa period!!!!!.
 
Jamani natafuta Nyumba ndogo umri miaka 25-30

Hapa kwetu ofisini kuna kibanda cha mlinzi hakiishi mtu nafikiri kitakufaaa coz ni kidogo kweli kweli
 
nyumba ndogo unataka ya kuishi au ya kufanyia biashara?????
 
nimezipenda comment zenu.Kumbe watanzania habari hizi mnasoma ila habari muhimu hamsomi!
 
Ni pm. Kama uko interested, kuna hii hapa mtaani kwetu, ina chumba kimoja cha kulala, jiko,na kasebule choo unashea na nyumba kubwa
 
Uko tayari kwa:
Kuhonga nyumba jumla, gari jumla, shamba jumla na samani zote za ndani jumla kisha, mwisho wa kutembelea nyumba ndogo saa 5 usiku? Maana una nyumba kubwa utakumbushwa saa 5 usiku ukifika kuwahi nyumba kubwa vyumba visilale wazi huko. Huruhusiwi kuja nyumba ndogo bila taarifa au hodi. Matumizi kwa siku au kwa mwezi ni mara 95 ya matumizi ya nyumba kubwa, japo hiyo itakuwa ndogo. Ukishahonga vilivyotajwa hapo juu na mfuko ukalegea au ukagoma kuongeza matumizi zaidi unapigwa mkwara usepe zako utafute ndogo nyingine. Kama hayo unayaweza, sema tukuunganishe.
 
nimezipenda comment zenu.Kumbe watanzania habari hizi mnasoma ila habari muhimu hamsomi!
Ni rahisi kuchangia utumbo lakini zile muhimu inabidi utafakari sana ikiwa vipi unakaa kimya na kusoma Comment za wenzako tu. Lakini kama ni utumbo simple tu huhitaji kufikiri sana.
 
Jamani natafuta Nyumba ndogo umri miaka 25-30

jenga....auulionayo ipunguze iwe ndogo.aaah no no no no....kuna subforum ya nyumba connect hapo chin wapo wanao tafuta nyumba kubwa so mnaweza kubadilishana
 
nimezipenda comment zenu.Kumbe watanzania habari hizi mnasoma ila habari muhimu hamsomi!
Humu muda mwingine wanakua wameshachoka!
Hawahtaji kufikiri zaidi.
Hizo nyuma ndogo nakumbuka zipo maeneo ya quater za reli pale ilala zitakufaa!
 
nimezipenda comment zenu.Kumbe watanzania habari hizi mnasoma ila habari muhimu hamsomi!
Humu muda mwingine wanakua wameshachoka!
Hawahtaji kufikiri zaidi.
Hizo nyuma ndogo nakumbuka zipo maeneo ya quater za reli pale ilala zitakufaa!
 
Reactions: KGB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…