House4Rent Natafuta Nyumba ya kukodisha Arusha mjini.

House4Rent Natafuta Nyumba ya kukodisha Arusha mjini.

Superior 01

Member
Joined
Apr 16, 2019
Posts
98
Reaction score
80
Habari zenu wana JF.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nahitaji nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala na sebule maeneo ya Arusha mjini. Bajeti haizidi 200,000/= tshs.
.
.
Ninaomba msaada wenu mwenye kufahamu Mawasiliano PM asante.
 
Kama utakuwa hujapata hadi Tarehe 30 May kuna jirani anahama ..nyumba iko Njiro
 
mpigie dalali wa uhakika aliyenisaidia nami kupata nyumba nilipoamia Arusha mwezi March,namba 0679711730,yupo Mushono
 
Back
Top Bottom