Superior 01
Member
- Apr 16, 2019
- 98
- 80
Habari zenu wana JF.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nahitaji nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala na sebule maeneo ya Arusha mjini. Bajeti haizidi 200,000/= tshs.
.
.
Ninaomba msaada wenu mwenye kufahamu Mawasiliano PM asante.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nahitaji nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala na sebule maeneo ya Arusha mjini. Bajeti haizidi 200,000/= tshs.
.
.
Ninaomba msaada wenu mwenye kufahamu Mawasiliano PM asante.