Eboo
Member
- Aug 22, 2019
- 45
- 64
Habarini wana jamvi, kama mada inavyojieleza apo, naitaji nyumba ya kununua iliyokamilika.
Iwe ni vyumba 2 au v3, kimoja wapo kiwe master au vyote, kuwe na sebule, jiko etc.
Location iwe Dar, Morogoro au Mwanza, Arusha.
Isiwe mbali na mji, iwe na umeme pamoja na maji.
Offer yangu ni 40million.
Iwe ni vyumba 2 au v3, kimoja wapo kiwe master au vyote, kuwe na sebule, jiko etc.
Location iwe Dar, Morogoro au Mwanza, Arusha.
Isiwe mbali na mji, iwe na umeme pamoja na maji.
Offer yangu ni 40million.