Ninayo ila ipo mbagalaKwa mawasiliano, wasiliana piga 0717-0767 45 44 55
- Iwe Dsm
- Iwe Kigamboni, Changanyikeni, Kawe, Makongo Juu, Mbezi Beach, Goba, Salasala, Tegeta, Wazo, Mbweni, Boko, au Bunju.
- iwe na eneo la kutosha
- iwe inafikika kwa gari (gari iingie hadi ndani, sio mambo ya kupaki CCM)
- Iwe fenced
- Iwe na umeme
- Iwe na maji
Ila pia kua makini na wenyenyumba feki (matapeli),Kwa mawasiliano, wasiliana piga 0717-0767 45 44 55
- Iwe Dsm
- Iwe Kigamboni, Changanyikeni, Kawe, Makongo Juu, Mbezi Beach, Goba, Salasala, Tegeta, Wazo, Mbweni, Boko, au Bunju.
- iwe na eneo la kutosha
- iwe inafikika kwa gari (gari iingie hadi ndani, sio mambo ya kupaki CCM)
- Iwe fenced
- Iwe na umeme
- Iwe na maji
Na huyu aliepost hapa ni miongoni mwa hao matapeli niliokuambia,0787 403768
Ipo kimara-matosa road changarawe
Ninayo ila ipo mbagala
Soma kifungu #2, ila sio mbaya iwapo ukaweka picha za kunihamasisha nikakae Mbagala.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Maisha kujiongezanaona umepata buzi la hatare
wana kampuni ya uhakika .mwambie umepewa namba na estaAsante Miss Natafuta
Esther Mambo?wana kampuni ya uhakika .mwambie umepewa namba na esta
ndo akili yako ilipoEsther Mambo?
Miss n tafuta kumbe ester miguu minene dah
Duh huo mkwaraHapa tunaongelea biashara ya nyumba mkuu mambo ya miguu minene ya Miss Natafuta baadae. Hata hivyo kutajana majina inakatazwa kwa kanuni za JF.
Hata kama kasema namba kapewa na Ester, unajua kama huyu ndio yeye? Kuwa makini kidogo mkuu.
Utapenda Mbweni Teta vyumba 4,3 self electric fence unahitaji?Ninayo ipo gongo laboto