lukatony JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 667 Reaction score 523 May 8, 2023 #1 Msaada jamani, Natafuta nyumba ya vyumba 3, nzuri au apartment Tabora mjini isiyozidi 2.0M, mwenye nayo au anijulishe please! Hela hiyo ni kwa mwaka. Kimoja self, iwe na Uzio na usalama wa kutosha!
Msaada jamani, Natafuta nyumba ya vyumba 3, nzuri au apartment Tabora mjini isiyozidi 2.0M, mwenye nayo au anijulishe please! Hela hiyo ni kwa mwaka. Kimoja self, iwe na Uzio na usalama wa kutosha!
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 12,846 Reaction score 28,106 May 8, 2023 #2 Wanakuja
lukatony JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 667 Reaction score 523 May 8, 2023 Thread starter #3 Santos06 said: Wanakuja Click to expand... Okey, nawasubiri.