Nayrath Husayn
New Member
- Sep 20, 2020
- 1
- 2
bajet yako sh ngapi?Natafuta nyumba ya kupanga, Morocco, Upanga, mikocheni , iwe na vyumba viwili au kimoja , jiko na sebule.
Kama ipo muwekee bei ajipime kama anaweza, kama hawezi atatafuta namna ajiongezebajet yako sh ngapi?
Hii nyumba bado ipo? Eneo lipi?Kuna ya 550,000 kali mno
Hii pia.. Bado ipo? Tunasaka makazi maeneo hayoIpo laki 4 n 50 kwa mwez
Upanga upate nyumba ya 200,000/=???Natafuta nyumba ya kupanga, Morocco, Upanga, mikocheni , iwe na vyumba viwili au kimoja , jiko na sebule.
Budget yangu ni 200,000