House4Rent Natafuta nyumba yakupanga Tanga

House4Rent Natafuta nyumba yakupanga Tanga

Mchathu

Member
Joined
Sep 3, 2018
Posts
62
Reaction score
37
Heshima kwenu wakuu. Mwenyezi Mungu amenisaidia nimepata kazi Tanga hivyo yeyote anaefaham au anaweza nisaidia kupata nyumba maeneo ya Kange karibia na stendi mpya ya Mkoa asisite kunifahamisha. Natanguliza shukrani kwa yeyote atakaefanikisha hili.
 
Heshima kwenu wakuu. Mwenyezi Mungu amenisaidia nimepata kazi Tanga hivyo yeyote anaefaham au anaweza nisaidia kupata nyumba maeneo ya Kange karibia na stendi mpya ya Mkoa asisite kunifahamisha. Natanguliza shukrani kwa yeyote atakaefanikisha hili.
Nipe mchongo wa ku_apply job hapo ulipopata kwanza,
Kisha nikutafutie nyumba kali ya bei reasonable.
 
Unataka nyumba ya vyumb vingapi? Vitu gani ungependa iwe navyo? Bajet yako ikoje?
Heshima kwenu wakuu. Mwenyezi Mungu amenisaidia nimepata kazi Tanga hivyo yeyote anaefaham au anaweza nisaidia kupata nyumba maeneo ya Kange karibia na stendi mpya ya Mkoa asisite kunifahamisha. Natanguliza shukrani kwa yeyote atakaefanikisha hili.
 
Back
Top Bottom