Natafuta Nyumba Zanzibar

Natafuta Nyumba Zanzibar

mkabia juu

New Member
Joined
Jan 15, 2025
Posts
1
Reaction score
0
wadau, hasa wanaoishi Zanzibar naomba msaada wenu,

Nitakuwa Zanzibar kikazi kwa mwaka mmoja kuanzia mwezi wa pili.

Natafuta Nyumba ya kupanga 1 Bedroom ikiwa master room ni vyema zaidi, Sitting room na jiko.

Kama itakuwa ngumu kupata basi walau 1 master bedroom, sitting room na jiko. Itapendeza zaidi nyumba ikiwa ndani ya fence.

Ningependa maeneo ya Stone Town, Malindi, Mlandege, Mandege na Vikokotoni kwa kifupi Wilaya ya Mjini

Mwenye taarifa tafadhali ni PM......

Bajeti yangu ni kuanzia 80k hadi 200k

Naomba kuwasilisha
 
wadau, hasa wanaoishi Zanzibar naomba msaada wenu,

Nitakuwa Zanzibar kikazi kwa mwaka mmoja kuanzia mwezi wa pili.

Natafuta Nyumba ya kupanga 1 Bedroom ikiwa master room ni vyema zaidi, Sitting room na jiko.

Kama itakuwa ngumu kupata basi walau 1 master bedroom, sitting room na jiko. Itapendeza zaidi nyumba ikiwa ndani ya fence.

Ningependa maeneo ya Stone Town, Malindi, Mlandege, Mandege na Vikokotoni kwa kifupi Wilaya ya Mjini

Mwenye taarifa tafadhali ni PM......

Bajeti yangu ni kuanzia 80k hadi 200k

Naomba kuwasilisha
Katika sehem amblyopia sitakuja ishi ni zanzibar labda kutembea tu na kurudi home wanamaisha Yao ya ajabu Sana yani ukifikia kwa mtu bas utashangaa kila mtu anajua ulipofikia na ukiwa WA Bara huku hata ukiwatajia Jina lake watakupachika Jina LA kikuudhi uchawi na urogaji kill ni kituo
 
Kiembe samaki na migomban mpka amani ukipata utaishi kamauko dar tu
wadau, hasa wanaoishi Zanzibar naomba msaada wenu,

Nitakuwa Zanzibar kikazi kwa mwaka mmoja kuanzia mwezi wa pili.

Natafuta Nyumba ya kupanga 1 Bedroom ikiwa master room ni vyema zaidi, Sitting room na jiko.

Kama itakuwa ngumu kupata basi walau 1 master bedroom, sitting room na jiko. Itapendeza zaidi nyumba ikiwa ndani ya fence.

Ningependa maeneo ya Stone Town, Malindi, Mlandege, Mandege na Vikokotoni kwa kifupi Wilaya ya Mjini

Mwenye taarifa tafadhali ni PM......

Bajeti yangu ni kuanzia 80k hadi 200k

Naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom