Habari wapendwa,mimi nimehitimu IFM mwaka jana degree ya banking&finance,nina miaka 27 naishi Dar es Salaam,ni Mwanaume. Ni muaminifu,mwenye nia ya kujifunza,nina mahusiano mazuri&tabia pia. Nafahamu JF tupo watu wa aina mbalimbali pia naelewa umuhimu wa kuna na network nzuri,kwa yeyote atakayeguswa kunisaidia nitashukuru sana. Asanteni sana na Mungu awabariki.
E mail. wvevee@yahoo.com
0688658292
Habari wapendwa,mimi nimehitimu IFM mwaka jana degree ya banking&finance,nina miaka 27 naishi Dar es Salaam,ni Mwanaume. Ni muaminifu,mwenye nia ya kujifunza,nina mahusiano mazuri&tabia pia. Nafahamu JF tupo watu wa aina mbalimbali pia naelewa umuhimu wa kuna na network nzuri,kwa yeyote atakayeguswa kunisaidia nitashukuru sana. Asanteni sana na Mungu awabariki.
E mail. wvevee@yahoo.com
0688658292
mbali na banking & finance unaweza kazi gani nyingine.....?
Salama mpendwa,mi pia nakushauri jaribu kutembelea site hizi Tanzania Directory for Business, Entertainment & Travel Info na brightermonday.com mara kwa mara unaweza kutana na post za elimu yako uka apply huwa mara nyingi nazikuta hizi...usikate tamaa hata kidogo wakati wako ukifika UTAPATA TU...mengine wapo watu watakusaidia humu.
God bless you too!!!
Me ningependa tu nikupe moyo kwamba kazi utapata, cha msingi ufate ushauri kama ulivyoelekezwa na baadhi ya members hapa. Na pia uwe unafatilia sana magazeti kwani huwa yanatangaza nafasi za kazi... Nakutakia kila la Heri..Usichoke kumuomba Mungu wako.
Habari wapendwa,mimi nimehitimu IFM mwaka jana degree ya banking&finance,nina miaka 27 naishi Dar es Salaam,ni Mwanaume. Ni muaminifu,mwenye nia ya kujifunza,nina mahusiano mazuri&tabia pia. Nafahamu JF tupo watu wa aina mbalimbali pia naelewa umuhimu wa kuna na network nzuri,kwa yeyote atakayeguswa kunisaidia nitashukuru sana. Asanteni sana na Mungu awabariki.
E mail. wvevee@yahoo.com
0688658292