C chuku Member Joined Jun 9, 2009 Posts 40 Reaction score 0 Jun 30, 2009 #1 Wana JF Nependa kuwa shirikisha katika swala langu la PART TIME Aaccoutant napendelea Arusha.
Kaitaba JF-Expert Member Joined Jun 30, 2009 Posts 915 Reaction score 54 Jun 30, 2009 #2 Hiyo kazi unayoitaka umeisomea chuo gani na mwaka gani?, na uko tayari mkoa wowote?
kui JF-Expert Member Joined Mar 2, 2009 Posts 6,467 Reaction score 6,499 Jul 2, 2009 #3 Kaitaba said: Hiyo kazi unayoitaka umeisomea chuo gani na mwaka gani?, na uko tayari mkoa wowote? Click to expand... He already said he prefers Arusha...I think!
Kaitaba said: Hiyo kazi unayoitaka umeisomea chuo gani na mwaka gani?, na uko tayari mkoa wowote? Click to expand... He already said he prefers Arusha...I think!
N NAKWEDE JF-Expert Member Joined Aug 1, 2007 Posts 27,970 Reaction score 35,168 Jul 2, 2009 #4 chuku said: Wana JF Nependa kuwa shirikisha katika swala langu la PART TIME Aaccoutant napendelea Arusha. Click to expand... Je wana arusha wakipata anayetaka mhasibu lakini wa full time uko tayari tukujilishe au ni kama ulivyo insist kwamba ni part time?
chuku said: Wana JF Nependa kuwa shirikisha katika swala langu la PART TIME Aaccoutant napendelea Arusha. Click to expand... Je wana arusha wakipata anayetaka mhasibu lakini wa full time uko tayari tukujilishe au ni kama ulivyo insist kwamba ni part time?
C chuku Member Joined Jun 9, 2009 Posts 40 Reaction score 0 Jul 8, 2009 Thread starter #5 Nashukuru kwa ushirikiano ,hata ikipatikana ya Fulltime me niko tayari kwa hapa Arusha.Naomba tuendelee kushirikiana.
Nashukuru kwa ushirikiano ,hata ikipatikana ya Fulltime me niko tayari kwa hapa Arusha.Naomba tuendelee kushirikiana.
S SHANGO WA SHANG New Member Joined Feb 25, 2009 Posts 4 Reaction score 0 Jul 17, 2009 #6 Usijali tutakujulisha itakapopatikana.
Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,590 Reaction score 6,355 Jul 18, 2009 #7 Tuko pamoja mdau
M mswazi Member Joined Nov 18, 2007 Posts 25 Reaction score 2 Jul 26, 2009 #8 Kwa Accountant kuwa part time si dhani kaka, may be msaidizi ktk idara ya uhasibu
S stanley moses New Member Joined Jul 24, 2009 Posts 3 Reaction score 0 Jul 27, 2009 #9 natafuta kazi as bisness administrater popote tz jina stanley moses simu 0713163155 au stanleymoses67@yahoo.com
natafuta kazi as bisness administrater popote tz jina stanley moses simu 0713163155 au stanleymoses67@yahoo.com
L lina kiwelu Member Joined Mar 15, 2010 Posts 6 Reaction score 0 Jun 16, 2010 #10 nafikiri, ungetoa detail zako ili ilkipatikana mtu aweze kukupata kirahisi!