Natafuta partners kwa ajili ya kufungua ICT & Electrical Co.

Natafuta partners kwa ajili ya kufungua ICT & Electrical Co.

MD25

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2012
Posts
3,074
Reaction score
1,023
Habari wanabodi. Nimekuwa na wazo la kufungua kampuni ya ICT & Electrical Co., kwa muda mrefu sana. Leo nimeona nilileta kwenu ili tuweze kushauriana... Ninahitaji partners wawili (2), kwa ajili ya kufungua biashara niliyoitaja hapo juu. Mmoja LAZIMA awe na qualifications za ICT/Electronics na mwingine awe na qualifications za Electrical. Hii biashara nataka tukaifanyie Mwanza, kwa sababu Mwanza ni mji unaokuwa, kwa hiyo hata initial capital haitakuwa kubwa sana, pili uwezekano wa kupata kazi utakuwepo. Hii partnership inahitaji watu 'wazima' ambao wako serious... Tukisha kubaliana tutafanya taratibu za kufungua Co. & all legal matters ili Co. iweze ku operate. Itatupasa tukubaliane kwanza kabla ya kufungua hiyo Co. Mimi nina qualification ya B. Com kutoka UDSM, kwa sasa nipo DSM. Mtu ambaye yuko na nia ani PM. Asante.
 
Mimi niko serious na hiyo issue yako lakini sasa kuishi Mwanza ndo changamoto kwangu
 
Mimi niko serious na hiyo issue yako lakini sasa kuishi Mwanza ndo changamoto kwangu

Mkuu nashukuru kwa kuonyesha interest... Kusema ukweli, sisi waTz tuna tatito na tuna changamoto ya kukubaliana na swala zima la utafutaji. Hii inatokana na mazingira tuliyokulia au hali ya kutokubaliana na swala zima la utafutaji. Tukiendelea hivi tutakuja kuumia. Utakuta wenzetu wa Kenya au Uganda, wanatoka huko makwao na kuja TZ kutafuta, utawakuta DSM, Mwanza, Lindi etc... Mkuu, mimi naishi DSM, nimejenga na ninafamilia, lakini kwenye swala la utafutaji unabidi UPIGANE, inakubidi UTAFUTE... Alright lakini unaweza kunisaidia kutafuta au kuwajulisha watu wengine. Thanks...
 
Ingekuwa ......Dar

Mkuu kwa mkoa kama mwanza ukifanya hii biashara ni rahisi sana kufikia malengo yako mapema ukilinganisha na DSM. Pia, kwa namna hiyo, unaweza kulinganisha ukiwa na 100m Berlin au DSM, kwa hakika effect ya 100m kwa DSM ni kubwa, ndio maana tunasema wageni wanakuja Tz wakiwa na mitaji midogo, lakini baada ya muda wanaondoka na mabilioni, lakini hiyo mitaji ya 100m huko kwao haitoshi kufikia malengo yao...
 
Nina qualify kwa IT na electrical, vipi hapo!
 
Nina qualify kwa IT na electrical, vipi hapo!

Mkuu nashukuru kwa response yako. Kama una qualifications zote ni vizuri. Nitaku PM, ili tuanze mawasiliano, najua hili swala lina process ndefu lakini lazima tuanze kuhesabu 1.
 
Mkuu nashukuru kwa kuonyesha interest... Kusema ukweli, sisi waTz tuna tatito na tuna changamoto ya kukubaliana na swala zima la utafutaji. Hii inatokana na mazingira tuliyokulia au hali ya kutokubaliana na swala zima la utafutaji. Tukiendelea hivi tutakuja kuumia. Utakuta wenzetu wa Kenya au Uganda, wanatoka huko makwao na kuja TZ kutafuta, utawakuta DSM, Mwanza, Lindi etc... Mkuu, mimi naishi DSM, nimejenga na ninafamilia, lakini kwenye swala la utafutaji unabidi UPIGANE, inakubidi UTAFUTE... Alright lakini unaweza kunisaidia kutafuta au kuwajulisha watu wengine. Thanks...

Ni kweli but due to the family issues nahitaji kwanza kukaa Dar sio chini ya miaka kumi ndo nisetle,ntakuPM namba ya mtu ambae yupo Mwanza nina uhakika mtaendana nae ni mzuri sana kwenye mambo ya IT and he has been dreaming to have his own company au hata company ya kushare
 
Unahitaji watu wenye hizo qualifications? Ama wenye mitaji plus idea ya hayo mambo ili mfanye biashara? Labda sijakuelewa kidogo mkuu
 
Unahitaji watu wenye hizo qualifications? Ama wenye mitaji plus idea ya hayo mambo ili mfanye biashara? Labda sijakuelewa kidogo mkuu

Mkuu kwa kampuni ya namna hii, mtaji wa kwanza wa partners ni technical knowledge. Pia, service company haitaji mitaji mikubwa kama trading or manufacturing company. Kwa maana hiyo, initial cash itakuwa ndogo tu. Kitu cha msingi ni technical...
 
Great idea, I had the idea am working on it now. Make sure you get "right" partners (integrity, commitment, etc)
 
Back
Top Bottom