Kampuni ya kuagiza magari na kuuza na transportationSasa unataka mshirika wakati, hujaweka hata details za kutosha kuhusu aina ya hiyo kampuni, au biashara itakayofanyika?
Uwezi kupata mshirika wakati hujapambanua taarifa yako
Kitengo nisikose mkuu.Kampuni ya kuagiza magari na kuuza na transportation
umeandaa mtaji kiasi gani?na jumla ya mtaji unaohitajika ni kiasi gani?Kampuni ya kuagiza magari na kuuza na transportation
How much do you have?
Personal I have 5ml.[emoji16][emoji16][emoji16]
Njoo DMWeka mchanganuo wa biashara boss. Tuone namna ya kwenda pamoja
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Nimezoea najua vizur biashara sio kwamba naanza hapanaAnzia kwenye sole proprietorship
Upate experience
Doh, hayaNimezoea najua vizur biashara sio kwamba naanza hapana
nipo hapa mtu wa sales and marketingKampuni ya kuagiza magari na kuuza na transportation
Ongeza nyama kijanaNi kama inavyojieleza hapo juu, mimi ni mfanyabiasha wa mda mrefu natafuta partner wa kuanzisha kampuni ambayo tutaanzisha kutegemea na mtaji wetu tutakao kuwa nao, mwenye malengo ya kukua kibiashara zaid, biashara ziko nyingi, ambazo tunaweza fanya endapo atapatikana mtu tutakaelewana kibiashara zaid,
Nikupe kazi ya kuuza? Niuze Mimi.....nipo hapa mtu wa sales and marketing
ukihitaji..
Hata kwa malipo ya commission