Natafuta patner wa kufanya nae biashara

Joined
Jun 28, 2012
Posts
30
Reaction score
2
Natafuta mtu ambae yupo tayari kufanya kazi kwa muda wa ziada bila kuingiliana na kazi yake,ambayo itamuwezesha kupata kipato cha ziada nje ya mshahara wake.kwa aliyetayari tuwasiliane.
 
What are Ts and Cs sea hiyo kazi nibiashara gain i might be interested?
 
kama si ya watu, madawa, albino, au yoyote haramu niko tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…