jitahidi ukiscan kwa kutumia camscaner ili upate pdf ili tupate knowledge pia mkuu
😂😂😂😂😂Kuna kitabu kinauzwa million cha Steve Nyerere
Ni 30elfElf40 .
Kingekuwa cha Yericko Nyerere angalau ningemwomba anipunguzie japo buku, hicho cha steve sikitaki hata bure! Rip Mengi!Kuna kitabu kinauzwa million cha Steve Nyerere
Kimekusaidia nini mpaka sasa ambacho unaweza kusema kweli ela yako imeenda vzuri
30000Elf40 .
Ni Yeriko Nyerere [emoji16][emoji16][emoji16]Kuna kitabu kinauzwa million cha Steve Nyerere
Na kwenye hicho kitabu amewazungumzia watu wanaosema "TATIZO MTAJI" anasema kuna watu walisema hivyo akasema "haya mtaji huu niambie plan ya biashara" wakabaki kumung'unya maneno tu.Hayo maneno bila mtaji ni kazi bure.
Subiri uazime.[emoji23]hapana mzee kinauzwa ghali sana na sie masikin tuna kiu ya kusoma .
Na kwenye hicho kitabu amewazungumzia watu wanaosema "TATIZO MTAJI" anasema kuna watu walisema hivyo akasema "haya mtaji huu niambie plan ya biashara" wakabaki kumung'unya maneno tu.
unapenda vya bwerere eeHabari wakuu ,naomba mwenye uwezo wa ku-share PDF ya kitabu tajwa hapo juu kwa wale walionacho katika mfumo wa PDF .