Natafuta petrol station on the renting basis

komunte

Member
Joined
Aug 24, 2012
Posts
46
Reaction score
22
Mimi ni kjana niliyeajiriwa kwenye kampuni moja mafuta Tanzania, lakini nimepata access ya running capital - mafuta pamoja na initial fund ya ku_run petrol station. Kwa yeyote mwenye connection anisaidie tufanye business; pia vituo vya watu binafsi navipa priority kubwa, coz vituo vya makampuni profit margin ndogo.!!!! Mwenye connection ani pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…