Natafuta picha za miaka 23 toka Mwenge ukimbizwe

Natafuta picha za miaka 23 toka Mwenge ukimbizwe

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Sherehe zilifanyika katika uwanja wa mpira wa Sheikh Amri Abeid Arusha mwaka 1987. Mgeni rasmi alikuwa Mwl. Nyerere baadhi ya picha ziliwekwa kwa muda pale kwenye jengo la Azimio la Arusha.

Pia kuna watu wa BBC walikuwa wana rekodi FILM (sasa hii sina hakika inaweza patikana wapi)

MSAADA TAFADHALI kama naweza kuzipata. NATANGULIZA SHUKRAN
ASANTE tena na tena

KUna mtoto wa kike alikuwa anaongoza vikosi vya chipukizi GETRUDA(Jetuu) chini ya uongozi wa kamanda SUMU. Pia kulikuwa na bendi ya CTU kutoka Monduli. Shughuli ilikuwa na mvuto wa kipekee
 
Kuna page Instagram na Facebook inaitwa Makinika inaongozwa na akina Michuzi na wenzake waliokuwa wapiga picha wa Rais Nyerere enzi hizo, pia kumbukumbu nyingi za Radio Tanzania Dar es salaam wanazo.
 
Kuna page Instagram na Facebook inaitwa Makinika inaongozwa na akina Michuzi na wenzake waliokuwa wapiga picha wa Rais Nyerere enzi hizo, pia kumbukumbu nyingi za Radio Tanzania Dar es salaam wanazo.
NImemcheki Ankal ( Issa Michuzi),,,,Nae hana
 
Back
Top Bottom